1 Kings 6:5-6

5 aAkafanyiza vyumba vya pembeni kulizunguka Hekalu lote vikishikamana na kuta za Hekalu na za Patakatifu pa Patakatifu. 6 bGhorofa ya chini kabisa ilikuwa na upana wa dhiraa tano,
Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
ya kati ilikuwa dhiraa sita na ya tatu ilikuwa dhiraa saba.
Dhiraa saba ni sawa na mita 3.15.
Kuzunguka ukuta wa nje wa Hekalu akapunguza ukuta pande zote ili boriti zisishikane kwenye kuta za Hekalu.

Copyright information for SwhKC